“TEHAMA ITUMIKE KATIKA KUONGEZA KASI YA UKUAJI WA UCHUMI” MH.MAJALIWA
23 Desemba, 2020 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TEHAMA ITUMIKE KATIKA KUONGEZA KASI YA UKUAJI WA UCHUMI-MAJALIWA WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wananchi kutumia vizuri Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwenye shughuli za uzalishaji mali na utoaji huduma katika sekta mbalimbali ili kusaidia kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed