“TEHAMA ITUMIKE KATIKA KUONGEZA KASI YA UKUAJI WA UCHUMI” MH.MAJALIWA

23 Desemba, 2020  TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TEHAMA ITUMIKE KATIKA KUONGEZA KASI YA UKUAJI WA UCHUMI-MAJALIWA WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wananchi kutumia vizuri Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwenye shughuli za uzalishaji mali na utoaji huduma katika sekta mbalimbali ili kusaidia kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini